Header Ads Widget

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI HUU

 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Moremi Marwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA).


Bw. Marwa ni Mtendaji Mkuu wa Shirika la Uzalishaji Mali la Magereza (SHIMA).


Uteuzi huu umeanza tarehe 14 Mei, 2023.



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI