Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika mwaka 2025.
Nafasi hizo ni kwa ajili ya Tanzania Bara na Zanzibar, zikihusisha Mratibu wa Uchaguzi, Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya, na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Ngazi ya Jimbo.
Kwa mujibu wa tangazo la Tume, Mratibu wa Uchaguzi atakuwa na jukumu la kuratibu habari na taarifa za uchaguzi, kuhakikisha upatikanaji wa vifaa, na kuwa kiunganishi kati ya Tume na wadau wa uchaguzi katika maeneo husika. Nafasi hii inapatikana Unguja na Pemba.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya atasimamia shughuli za uchaguzi katika wilaya yake, kuhakikisha utunzaji wa vifaa na matumizi sahihi ya fedha za uchaguzi, pamoja na kutoa taarifa za maendeleo kwa mujibu wa maelekezo ya Tume.
Waombaji wa nafasi hizi wanatakiwa kuwa raia wa Tanzania, watumishi wa umma, na kuwa na shahada au stashahada ya juu katika fani yoyote. Aidha, hawapaswi kuwa viongozi wa vyama vya siasa au kuwa na rekodi ya makosa ya kinidhamu au jinai. Maombi yanapokelewa kuanzia Aprili 3 hadi Aprili 23, 2025.
DOWNLOAD APP HABARI NA MATUKIO UWE WA KWANZA KUPATA MATANGAZO YA AJIRA KILA SIKU PIA UKIINGIA KWENYE APP HII NENDA SEHEMU ILIYOANDIKWA AJIRA ZIPO AJIRA NYINGI LEO PIA UTAPATA HABARI ZOTE ZA MATUKIO DAIMA MEDIA,
GUSA HAPA CHINI ⬇️ ⬇️ 👇
1 Comments
PESA/UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDeleteMPAKA MASAA 48(SIKU 2) PAPO HAPO ULIPO KUPITIA KALAMA KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
HIZI NI DAWA NA MUDA WA UKAMILIFU WAKE NA KUKUKABIDHI
MAJINI ZIPO AINA 3
1. GHUUL(chma ulete)....Siku 5
2.SAIFRAHAN(Jini wa kufuga)...Siku 6 n.k
3.SAIFRAHA(jini wa bahati)....masaa 24
NDAGU ZIPO AINA 6
1.MTU.....week 1 na nusu
2.MIMBA....siku 5
3.UTASA....masaa 72(siku tatu)
4.ULEMAVU....siku tano
5.NDUGU WATATU...siku sita
6.WANYAMA.....masaa 48
KARIBU UPATE UFAFANUZI UCHAGUE UIPENDAYO KILA MOJA NA MASHARTI YAKE.
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
HACHA KUTANGATANGA PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI
NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI NA KUTUNZA SIRI......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
@highlight @highlight Following TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA KENYANS LIVING IN USA 🇺🇲🇬🇧 KENYA BUSINESS NETWORK @highlight Watowaji Pesa Za Majini Everyone Products Your Friend.
PIGA SIMU/Whatsup +255 742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA SIMU KUEPUKA MATAPELI