Header Ads Widget

WATU WATANO WA FAMILIA MOJA WAPOTEZA MAISHA

 

Picha hii mfano tu  haihusiani na tukio la moto Mwanza 
Watu watano wa familia mmoja amepoteza maisha baada ya kuteketea Kwa moto huko jijini Mwanza .

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza Ramadhani Ng'anzi amethibitisha vifo vya watu watano wa familia moja  walioungua moto ndani ya nyumba yao katika eneo la Mandela jijini Mwanza.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI