Header Ads Widget

MAADHIMIDHO YA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI 2026


Tarehe  03 Machi, 2026 kila mwaka ni maadhimisho ya Siku ya Wanyamaporo Duniani. Kwa mwaka huu maadhimisho haya kitaifa yafanyika ndani ya Jiji la Arusha viwanja vya (NANE)88- Njiro.

"TAWIRI tupo na tunajivunia  mchango  mkubwa katika uhifadhi wa rasilimali ya Wanyamapori kupitia taarifa za kisayansi  ambapo takwimu na taarifa za tafiti hutumika kuhifadhi wanyamapori sambamba na  kunadi utalii."

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Dkt. Eblate Mjingo wakati alipokuwa anakagua mabanda ya maonyesho katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanyamapori Duniani yanayoendelea katika viwanja vya NaneNane - Njiro Jijini Arusha


Aidha, majukumu ya TAWIRI yamejikita katika ustawi wa uhifadhi wa Wanyamapori na kukuza utalii nchini ikiwa ni pamoja na kufanya, kuratibu na kusimamia tafiti za wanyamapori. Kufanya sensa ya wanyamapori, kufanya matibabu kwa wanyamapori nk






Kauli mbiu ya maadhimisho haya ni "MIMEA DAWA, NA MANUKATO: KUTUNZA AFYA, KUHIFADHI URITHI NA KUBORESHA MAISHA"


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI