Header Ads Widget

DKT. KIJAJI AUNGANA NA WAOMBOLEZAJI KATIKA IBADA YA KUAGA MWILI WA MHE. LUKUVI, BUNGENI DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akiwa na waombolezaji wengine katika tukio hilo 


Na. Sixmund Begashe, Dodoma


Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) leo tarehe 27 Machi 2025 ameungana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), Spika wa Bunge Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb), Wabunge  na  viongozi wengine  katika ibada ya kuaga miwili wa  aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Ismani Mhe. William Vangimembe Lukuvi. 

Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Mhe. Lukuvi aliyefariki tarehe 25 Machi 2026 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma, imeongozwa  na Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Paulo wa Msalama Jimbo Kuu Dodoma Padri  Simon Mswaga katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) akiwasili katika tukio hilo 





Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI