Header Ads Widget

FESTO KISWAGA AMPONGEZA LUKUVI KWA KUTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE ISMANI

 


KWA WANA-ISIMANI, WANA-IRINGA NA WATANZANIA WENZANGU!

Napenda kuchukua fursa hii kujulisha wanaCCM  Wananchi wote wa Isimani kuwa jimbo la Isimani tumeshapata Mgombea nafasi ya Ubunge ambaye ni Mh Wiliam Vangimembe Lukuvi naomba niwajulishe kuwa tayari nimeshamtumia meseji Mh Lukuvi kumpongeza kwa ushindi na uteuzi wa kulitetea jimbo la Isimani pia  nitaongea na  vyombo vya habari kutoa hotuba ya  kumuunga mkono Mh Lukuvi ili tupate ushindi wa Kishindo katika chama  chetu CCM    kwanza kwa  Mh Rais wetu Dr Samia Suruhu Hassan, Mbunge wetu Mh Wiliam Lukuvi na Wah Madiwani wote 13 katika jimbo la Isimani! 

KAZI NA UTU TUNASONGE MBELE.


Mimi Festo Shemu Kiswaga 24/8/2025

Mtia CCM nia Jimbo  la Isimani 2025

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI