Header Ads Widget

WANA CCM WAFURIKA MKUTANO WA KUWASILISHA ILANI JIMBO LA BARIADI.



Na Costantine Mathias, Bariadi.


WAJUMBE wa Mkutano wa Mkuu wa CCM wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu wamejitokeza Kwa wingi kwenye Mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020/2025, Jimbo la Bariadi.


Wajumbe hao ambao ni Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka kata 31 wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya Bariadi Alliance mjini Bariadi.


Mwisho.


























Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI