Header Ads Widget

NEWCASTLE YAWASILIANA NA KEAN

 




Newcastle wamefanya mawasiliano ya moja kwa moja na wakala wa mshambuliaji wa Fiorentina Moise Kean kuhusu uhamisho wa majira ya kiangazi, huku mshambuliaji huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 25 pia akizivutia Arsenal, Tottenham, AC Milan, Napoli na Barcelona. (Calciomercato)

Arsenal wako tayari kulipa pauni milioni 17 (euro milioni 20) kumnunua mlinda mlango wa Espanyol Joan Garcia baada ya vilabu vya Serie A na Bundesliga kumnunua Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 23. (El Nacional)

Everton wamezungumza na wawakilishi wa kiungo wa kati wa Freiburg na Ujerumani Merlin Rohl mwenye umri wa miaka 22 kuhusu uwezekano wa kuhama. (Kicker)

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI