Header Ads Widget

MAN UTD WANAMTAKA CUNHA WA WOLVES

 



Manchester United wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Wolves na Brazil Matheus Cunha, 25, ambaye kifungu cha kuachiliwa kwake cha pauni milioni 62.5 kitaanza kutumika msimu huu. (Talk sport)

Tottenham Hotspur haitamsajili mshambuliaji wa RB Leipzig na Ujerumani Timo Werner, 29, kwa uhamisho wa kudumu mara tu mkataba wake wa mkopo utakapokamilika msimu huu wa joto. (Fabrizio Romano)

Chelsea hawana nia tena ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 26, msimu huu. (CaughtOffside)

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI