Header Ads Widget

MWANAHABARI CONRAD MPILA AFARIKI DUNIA

 

Conradi Mpila, ni mtangazaji wa Kitulo FM, pamoja na kumsikia kwenye vipindi vingine lakini ulikuwa ukimsikiliza kwa kina kwenye kipindi cha Sports Light kila siku saa 03:15 usiku hadi saa 04:00 usiku Leo katutoka hatutakusikia tena


Conrad Mpila enzi za uhai wake


Conrad alipolazwa baada ya Ajali 
Conrad Mpila akisaini kitabu Cha maombolezo ya Kifo Cha Hayati Rais Dkt John Magufuli 

Mwenyekiti wa Chama Cha waandishi wa Habari mkoa wa Iringa (IPC) Frank Leonard  anasikitika Kutangaza Kifo Cha mwanachama wake Conrad Mpila aliyekuwa meneja wa kituo Cha Radio Kitulo FM Makete mkoani Njombe kilichotokea Leo,Mpila alikuwa amelazwa Hospitali ya Ikonda baada ya kupata Ajali .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI