Ligi ya Wilaya imeendelea leo ambapo michezo ya hatua ya makundi imezikutanisha timu za City Center na Streto Fc, City Center wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli mbili (2) kwa moja (1).
Ligi ya Wilaya imeendelea leo ambapo michezo ya hatua ya makundi imezikutanisha timu za City Center na Streto Fc, City Center wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli mbili (2) kwa moja (1).
Na Matukio Daima Media Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania,…
0 Comments