Ligi ya Wilaya imeendelea leo ambapo michezo ya hatua ya makundi imezikutanisha timu za City Center na Streto Fc, City Center wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli mbili (2) kwa moja (1).
Ligi ya Wilaya imeendelea leo ambapo michezo ya hatua ya makundi imezikutanisha timu za City Center na Streto Fc, City Center wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli mbili (2) kwa moja (1).
0 Comments