Header Ads Widget

BREAKING:MTANZANIA HADIJA KANYAMA ASHINDA TAJI LA DUNIA LA UREMBO

 





 Mrembo wa Tanzania Hadija Kanyama ametwaa taji la urembo la dunia kwa viziwi katika shindano lililofanyika Dar es Salaam na kutangazwa ushindi huo na jopo la

majaji 8 wakiongozwa na Rais wa Mashindano hayo kutoka nchini Marekani, Mama Baneta Ann Li.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI