Waziri wa utamaduni Sanaa na michezo Mohamed Mchengerwa ametaka BASATA kuwaita Viongozi wa shirikisho la Muziki kushughulikia mgogoro unaoendelea baada ya Steven Mengele (Steve Nyerere)kuteuliwa kuwa msemaji.
Huku Steve Nyerere akiweka msimamo wa kutojiuzulu kihuni.
0 Comments