Header Ads Widget

NYIKA FC YAENDELEZA UBABE PWANI

MABINGWA wa tetezi wa soka mkoa wa Pwani timu ya Nyika FC ya  Kibaha  imefanikiwa kutetea ubingwa huo baada ya kuifunga timu ya Kerege ya Wilaya ya Bagamoyo bao 2-0. mwandishi wa matukio daima John Gagarini anaripoti kutokea Pwani

Timu hizo zilikutana kwenye hatua ya fainali mchezo uliopigwa uwanja wa Dawindege Kilindoni wilayani Mafia.

Kufuatia ushindi huo Nyika FC watacheza na Mabingwa  kutoka katika Mikoa  mingine  kwenye michuano ya RCL .

Kwa ushindi huo Nyika FC watacheza Ligi Daraja la tatu  huku  michuano hiyo  ikiwa imeandaliwa na Chama Cha Soka Mkoa wa Pwani  (COREFA).

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI