Header Ads Widget

ATHARI ZA MVUA MORO

 

Matukio Daima,Kilosa

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha zimesababisha athari kwa watu na Miundo mbinu ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka na kamati yake ya  Usalama ya Wilaya wamekagua maeneo yaliyoathirika katika Tarafa ya Kidete wilayani humo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI