Mkazi wa Kijiji Cha Lufuna kata ya Mtwango wilaya ya Mufindi mkoani Iringa akitazama gari godo aina ya PRO BOX yenye namba za usajili T 268 DWS ikiwa imebeba mzigo wa Mbao huku ikivuka kwa shida katika dimbwi kubwa lililopo eneo la Kinoga barabara kuu ya Tanrods mkoa wa Iringa Kibao -Mafinga jana picha na Francis Godwin Matukio Daima Media






0 Comments