Header Ads Widget

SHAMBA LA BANGI LA UKUBWA WA HEKTA 2.5 LATEKETEZWA NA POLISI KIJIJI CHA CHONWE MORO.

 


Matukio Daima, Morogoro.

KATIKA oparesheni maalum ya kukabiliana na dawa za kulevya, Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limeteketeza shamba la bangi lenye ukubwa wa hekta 2.5 lililopo katika eneo la Mnyika, Kijiji cha Chonwe Kata ya Vidunda Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro.

Wakati wa tukio hilo, Polisi walimkamata Festo Steven Maneno (30), huku taratibu za kumtafuta mmiliki wa shamba hilo zikiendelea kwa ajili ya hatua za kisheria.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI