Header Ads Widget

RPC ATEMBELEA IYOVI BAADA YA KIFUSI KUANGUKA NA KUZIBA BARABARA YA MOROGORO -IRINGA,AWATAHADHARISHA MADEREVA


Matukio Daima, Morogoro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama, ametembelea eneo la Iyovi wilayani Kilosa baada ya kifusi cha matope kuporomoka na kuziba sehemu ya barabara kuu ya Morogoro–Iringa.

 Ameeleza kuwa mvua zinazoendelea ndizo zimechangia hali hiyo na ametoa tahadhari kwa madereva na watumiaji wa barabara kuchukua umakini mkubwa.

Baadhi ya madereva wakapongeza Jeshi la Polisi kufika eneo hilo kwa haraka ili kuzuia athari zinazoweza kujitokeza.


 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI