Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Msemaji wake mkuu Gerson Msigwa imesema kuwa inatambua uwepo wa fununu kuhusu Maandamano yanayotajwa kufanyika Disemba 9.2025
Msigwa amesema hayo leo Novemba 23.2025 Jijini Dar es salaam alipokuwa katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari
Aidha amesisitiza kuwa Serikali imejapanga kama ilivyokawaida siku zote kuhakikisha siku hiyo pia usalama utakuwepo pia endapo vitatokea viashiria vya Vurugu mbalimbali ipo kuwalinda Watanzania na mali zao







0 Comments