Header Ads Widget

LIWAKA ASHIRIKI ZOEZI LA KUPIGA KURA , AWAHAMASISHA WANANACHINGWEA KUENDELEA KUJITOKEZA KUPIGA KURA

 

NA MATUKIO DAIMA MEDIA.

NACHINGWEA.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nachingwea Mkoani Lindi anewaongoza wananchi wa Jimbo Hilo  kushiriki zoezi la upigaji wa Kura Katika Uchaguzi Mkuu wa kuchagua  Rais, wabunge na Madiwani uliofanyika Leo Nchi Mzima 

Liwaka ameshiriki zoezi hilo Katika kituo cha kupiga Kura cha matangini Kata ya Nangoe Wilayani Nachingwe ambapo akizungumza mara baada ya kupiga Kura Liwaka  amewasisitiza wananchi kuendelea kujitokeza Katika vituo vya kupigia Kura ili kutimiza wajibu wao wa kidemokrasia 

Msimamizi wa Uchaguzi wa Kata hiyo Nangoe  ally mkitage  Amesema Katika vituo Tisa vya Kata hiyo Jumla ya wapiga Kura 3192  wamejiandikisha kupiga Kura Katika Kata hiyo huku akileza Hatua za Awali kwa  kabla ya kushiriki kupiga Kura

Baadhi ya wapiga Kura  wamepongeza utaratibu mzuri WA kupiga Kura uliweka na tume

MWISHO.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI