Na matukio daima media
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa ameambatana na mke wake Mama Mariam Mwinyi, wamesimama njiani kununua matunda aina ya Mabungo wakitokea Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, baada ya mkutano wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), katika mwendelezo wa kampeni zake tarehe 07 Oktoba 2025.
0 Comments