Header Ads Widget

WANA CCM PEMBA WAONESHA MATUMAINI KWA DK. MWINYI KWA MABADILIKO MAKUBWA

 

Na Matukio daima media

Wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonesha matumaini makubwa kwa Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, wakisema kuwa katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameleta mageuzi makubwa katika sekta muhimu za kijamii na kiuchumi.

Wamesema hatua zilizochukuliwa na Dkt. Mwinyi katika kuboresha elimu, afya, barabara, bandari na viwanja vya ndege ni ushahidi tosha wa dira yake ya maendeleo na uthubutu wa kuijenga Zanzibar yenye ustawi kwa wananchi wote.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI