Rais wa Marekani Donald Trump anatazamiwa kutangaza ushuru zaidi tarehe 2 Aprili, 2025 ambao utazikumba nchi zote.
Kabla ya hapo, tayari ameanzisha mfululizo wa ushuru kwa uagizaji wa chuma, alumini, magari pamoja na bidhaa zote kutoka China.
Trump anasema – kwa hatua hizi ambazo zinazifanya bidhaa za kigeni kuwa ghali zaidi - zitasaidia wazalishaji wa Marekani na kulinda kazi zao.
0 Comments