Header Ads Widget

AJALI YA GARI LA WAGONJWA NA GUTA YAUA 7 MAFINGA


Na Matukio Daima Media 

IDADI ya watu 7 wamepoteza maisha na wengine 15 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la kubebea wagonjwa (ambulance) na guta iliyokuwa imebeba watu 22 Mjini Mafinga barabara ya kwenda Luganga karibu  na ofisi za Halmashauri ya Mji wa Mafinga.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa alipofika katika Hosipitali ya Mji wa Mafinga inaeleza kuwa watu hao walikuwa wanakwenda shamba kwa kutumia usafiri ambao ni hatarishi kwao na hapa anatoa wito kwa wananchi



Akithibitisha kupokea miili hiyo na majeruhi wa ajali hiyo Mganga Mafawidhi wa Hosipitali ya Mji wa Mafinga Dkt.Victor Msafiri amesema majira ya saa kumi na mbili asubuhi wamepokea majeruhi 15 na miili 7 huku akieleza hali za majeruhi hao


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI