Header Ads Widget

VITUS NKUNA AENGULIWA UENYEKITI BAVICHA KANDA YA NYASA,BALEKE ACHUKUA NAFASI YAKE

 

Vitus Nkuna aliyekuwa mwenyekiti BAVICHA Kanda ya Nyasa kabla ya Rufaa  Baleke kushinda 

Victor Baleke amekuwa mwenyekiti wa Baraza la Vijana chadema (BAVICHA) Kanda ya Nyasa baada ya  kamati kuu ya chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) iliyoketi wiki hii jijini Dar es Salaam kupitia Rufaa yake na kutoa maamuzi ya kumpa  ushindi Baleke aliyekata  Rufaa hiyo kupinga ushindi wa Nkuna  ,katika Uchaguzi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa uliofanyika Makambako Vitus Nkuna ndiye aliyetangazwa mshindi wa nafasi hiyo kabla ya Baleka kukata Rufaa na kushinda.


Victor Baleke Mwenyekiti mpya BAVICHA Kanda ya Nyasa 

Hata hivyo Matukio Daima media tumeendelea kumtafuta Nkuna bila Mafanikio ili kupata maoni yake baada ya kuondolewa kwenye nafasi hiyo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI