Header Ads Widget

AUWAWA KWA KUPIGWA NA MCHEPUKO WAKIWA LODGE KISA WIZI WA TSH 400,000

 


Mwanamke anayefahamika kwa jina la Rehema Maulid (30) mkazi wa eneo la Wawaso wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, amefariki dunia kwa madai kuwa ni baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani na mchepuko wake kwa tuhuma za kuiba laki nne na nusu wakiwa kwenye chumba cha kulala wageni maarufu kama Gesti wilayani humo.

Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limethibitisha kuwepo kwa tukio hilo, na limesema tayari mtuhumiwa wa tukio hilo ameshilikiliwa na muda wowote atafikishwa Mahakamani.


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI