Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amemteua Kenan Kihongosi kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu kabla ya uteuzi huo Kihongosi alikuwa mkuu wa wilaya ya Momba
Kihongosi amechukua nafasi ya Dkt Yahaya Nawanda ambe uteuzi wake umetenguliwa.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amemteua Kenan Kihongosi kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu kabla ya uteuzi huo Kihongosi alikuwa mkuu wa wilaya ya Momba
Kihongosi amechukua nafasi ya Dkt Yahaya Nawanda ambe uteuzi wake umetenguliwa.
Chinangali Park, Dodoma TAWIRI imeendelea kutoa elimu kwa wadau wakiwepo wananchi a…
0 Comments