Header Ads Widget

ACT WAZALENDO WANUFAIKA NA MIRADI YA MAENDELEO YA RAIS SAMIA



Chama cha Act Wazalendo kimesem Zanzibar imeanza kunufaika na miradi mingi ya maendele tangu Rais wa Jamhuri ya mùngano wa Tanzania mama dk Samia Suluhu Hassan kushika wadhifa huo.


Hayo yamelezwa na Makamu mwenyekiti wa Chama cha ACT  wazalendo  taifa Bwana Ismail jussa alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliyofanyika uwanja wa kivumbi jimbo la shaurimoyo mkoa wa mjini Magharibi unguja


Naye  mjumbe wa Kamati kuu ya Chama hicho na waziei wa Zamani wa smz   Bwana Mansour Yussuf Himid amesema matukio yanayojitokeza zanzibar yanakwenda kinyume na malengo na misingi ya  Maapinduzi ya Zanzibar January 12 mwaka 1964.


Chama cha act wazalendo kimeanzisha mikutano ya hadhara ya jimbo kwa jimbo kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu oktoba mwakani wakiwa wamebeba agenda kubwa wakizungumzia misingi ya Utawala bora.


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI