Basi la kampuni ya Tilisho Safari T551 DUY imepata ajali na kupinduka eneo la mkata wilaya ya Handeni wakati likitokea Dar es Salaam kwenda Arusha majira ya saa moja na nusu Asubuhi Januari 11,2024
Katika ajali hiyo majeruhi walikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu,tunaendelea kumtafuta kamanda wa Polisi ili kuthibitisha kama kuna vifo katika ajali hiyo.
Mashuhuda wa ajali hiyo wanasema chanzo cha ajali hiyo imesababishwa na lori kuovateki eneo hilo
0 Comments