Header Ads Widget

MBOWE NA DKT SLAA NI BALAA WATATOANA DAMU.

  


Dkt Slaa  amejibu mapigo kwa kuclaim kwamba Mbowe na washirika wake lazima wawe ombaomba  akinukuliwa wakati wa maandalizi ya kongamano la Mwanza Dkt Slaa amesema kuwa atahakikisha anaziba mirija ya Mbowe na kufichua janja janja zake alizozificha nyuma ya kivuli cha harakati nataka kufanya  their political careers difficult alisikika Dkt. Slaa. (Huku akiuma midomo yake). 


Mwamba alikipigania sana Chama ila Dkt. Slaa inaonekana amemzidi nguvu amekipasua chama katikati Diaspora hawaelewi kitu hela za mkutano wa Temeke zilipigwa safari hii wanataka Mwamba atoke ampishe Lissu (Dishi limeyumba) au waende Sauti ya Watanzania. Kikubwa maandalizi ya uchaguzi  wa ndani wameshika nafasi zote nyeti. 


Upande wa pili wa Mbowe yametoka maelekezo hakuna mfuasi wa mbowe kushiriki space za Maria na kongamano la katiba litakalofanyika Mwanza sababu Maria anatajwa kuwa ni fisi mwenye kueneza chuki na mshirika wa Lissu (Dishi kuyumba)..!


 Zipo taarifa kwa upande wetu sisi tunaona za hovyo na roho mbaya tu wamemtaka Mdude nyagali kufuta jina la Chadema katika handle zake zote ajiite Mdude Nyagali au mdude Wilbroad Slaa!! Pamoja na kutoshiriki kuhamisha kuchanga movt za kitabu chake. 


Balaa lingine kutoka kwa Diaspora wamekata kuchangia mikutano iliyopangwa kuendelea kanda ya Nyasa kamati maalum imeundwa ya kukusanya michango ya ndani kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali wafuasi wa Chadema. 


Habari mbaya kwa walioandaa kongamano wajipange watapigwa mawe Mwanza -Bavicha Mbowe wamepewa kazi kuhakikisha kongamano la Sauti ya watanzania halifanyiki lengo kumzuia Dokta Slaa asijibu mapigo ya mkutano wa baraza la Wazee


TANGAZA LA MATUKIO DAIMA ☎️0754 026 299

🍽️KARIBU DODOMA KARIBU MIDLAND INN VIEW HOTEL PIGA 0744788889/0763255550/0676366621


🍽️UWAPO MJINI IRINGA KARIBU LUMILO CLASSICAL HOTEL ☎️0756565603


💅NEEMA BEUTY SPAA SALOON IRINGA TUPO KIWANGO KWA GHARAMA NAFUU ☎️0755359989


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI