Header Ads Widget

KADA WA CHADEMA IRINGA MANENO MBUMA NA MZAZI WAKE KADA CCM WAFA AJALINI


 Kada wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini Maneno Mbuma amefariki Dunia katika Ajali ya gari mkoani Pwani .


Maneno akiwa na familia yake amepata ajali ya gari dogo alilokuwa akiendesha kugongana na Lori wakati akiwa safarini kuelekea Jijini Dar es Salaam kumpeleka baba yake katika matibabu .


Katika Ajali hiyo maneno na babake na abiria wengine wawili walipoteza Maisha .

Matukio Daima Media tunatoa pole na tutaendelea kuwajuza zaidi 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI