Header Ads Widget

DC AKANUSHA KUWEPO KWA MTU ASIEKUWA NA KICHWA

 


BAADA ya Kuibuka Taarifa zilizozua Hofu na taharuki juu  ya   uwepo  wa Mtu asie na kichwa katika baadhi  ya Maeneo  ya ndani  ya Mji  wa Unguja, Mkuu wa Wilaya ya Magharib B Unguja  Hamida Mussa Khamis leo amejitokeza hadharani  na kutia kauli juu ya Uvumi wa Taarifa hizo na kiwatoa  hofu  kuwa hakuna  kitu kama  hicho.


"Uvumi umekuwa Mkubwa  sana kwa  baadhi  ya maeneo , Miki nataka  niwatoe hofu  kuwa hakuna  kitu  hicho  kikubwa  naendelea na harakati za maisha kama  kawaida," Ameeema Mkuu wa wilaya Hamida.



Pia Mkuu wa wilaya Hamida amewataka Wananchi  kuendelea  kuiomba Taifa ili kujiepusha  na Mabalaa kama hayo.


Maeneo  ambayo  alikuwa nasadikiwa kuwa na Mtu asie kuwa na Kichwa ni pamoja na Tomondo,  Kwa Mchina, Chukwani  na Meli Nne.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI