Header Ads Widget

SOMA HABARI KUBWA MAGAZETI YA LEO JUMANNE NOVEMBA 22,2022: SALIM ASAS ASHINDA KWA ASILIMIA 92 UNEC ,DAUD YASSIN MWENYEKITI CCM MKOA WA IRINGA

































































Aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) mkoa wa Iringa Salim Abri Asas amefanikiwa kutetea nafasi yake Kwa kupata kura 593 huku aliyemfuata Mgobe Kihongosi akiambulia kura 34 na Dkt Alex Sanga akipata kura .

Huku  Daud Yasin akishinda Kwa kura 481 kati ya kura 122 alizopata Dr Neema Chaula na Anna Michael akipata kura 48 kushoto ni Salim Abri Asas aliyeshinda Kwa kura 593 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI