Header Ads Widget

WAZIRI MKUU KUFUNGUA RASMI MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISETA LEO TABORA

wanamichezo mbali mbali kutoka shule mbali mbali Tanzania wakiingia uwanjani Leo Katika ufunguzi wa michezo ya shule za msingi Tanzania (Umitashumta) picha na Isaya Mwakajana










 Mikoa mbalimbali ikiwasili  katika   uwanja wa Ally Hassan Mwinyi Mjini Tabora  mapema  leo tarehe 04 Agosti 2022 tayari kwaajili ya ufunguzi rasmi wa Mashindano ya UMITASHUMTA  na UMISETA kitaifa.


Mashindano hayo yatafunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe KassimMajaliwa











Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI