Serikali kupitia Waziri mkuu imetangaza siku ya Leo Agosti 23 ni mapumziko Kwa ajili ya Sensa ya watu na makazi ,zoezi ambalo linaungwa mkono na wengi .
Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara mjini Iringa yakiwa yamefungwa kushiriki zoezi la Sensa
magazeti
. >
0 Comments