Header Ads Widget

WAZAZI MKOA WA RUKWA WATAKIWA KUENDELEA KUTUNZA MALIASILI ZA MKOA HUO






***************

Wakazi wa mkoa wa Rukwa wameshauriwa kuendelea kuzitunza maliasili zilizopo ili mkoa huo uweze kupiga hatua kwa kuingiza kipato kinachotokana na sekta ya utalii kwa vivutio vinavyopatikana mkoani humo viweze kuleta tija kiuchumi.

Kauli ya Mkuu wa mmoa wa Rukwa Joseph Mkirikiti wakati wa uzinduzi wa ulinzi wa Maliasili za mkoa wa Rukwa, ulikwenda sanjari na uzinduzi wa filamu ya Royal Tour katika mkoa huo uliofanyika hii leo katika ukumbi wa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kalambo.

“Tunaweza kuutangaza utalii na vivutio vyote vilivyopo mkoani Rukwa iwapo sote tutakuwa na kauli moja yenye mshikamano kwa kuyasimamia yale tunayopanga.

Mkirikiti alisema kuwa sekta hiyo ya utalii inmaweza kufanikiwa iwapo watumishi wa serikali na watu wote wa sekta binafsi watajitoa na kuona fursa zilizopo.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI