Tetesi kutoka Uturuki zinasema kuwa mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich ameanza mazungumzo ya uwezekano wa kuinunua klabu ya Goztepe ya nchini humo.
Kwa mujibu wa chapisho la Uturuki la Fanatik uwezekano huo ni mkubwa na kuashiria kusogea kwa Abramovich nchini humo.
0 Comments