Header Ads Widget

ABDUL NONDO AKUTANA NA MAAMUZI HAYA MAHAKAMANI LEO KESI YA KUJITEKA

 


Mwanaharakati na mwanachama wa chama Cha ACT Wazalendo Abdul Nondo amefutiwa mashtaka mawili ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni ,baada ya upande wa Jamhuri kuomba kutoendelea na kesi hiyo Leo Katika mahakama ya Rufaa masajala ya Iringa.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



BBC NEWS