Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo, kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la Posta Tanzania (TPC).
Brigedia Jenerali Mabongo ni mkuu wa kitengo cha TEHAMA , Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa.
Uteuzi huo umeanza tarehe 24, Februari 2022.
0 Comments