Header Ads Widget

CCM WATANGAZA RASMI TAREHE YA KUANZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA

 


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi ratiba nzima ya mchakato wa kumpata mgombea wake wa nafasi ya Spika wa bunge kuwa 10-15 /1 /2022 Alasiri ni uchukuaji na urejeshaji ,17 /1/2022 sekretariet ya CCM itakutana na 18-19 /1/2022 kuchuja majina na 21-30/2022 upigaji kura ndani ya CCM  amesema katibu wa itikadi na uenezi Taifa Shaka Hamdu Shaka 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI