Header Ads Widget

ASIA ABDALLAH AREJESHA FOMU UOMBA NAFASI YA USPIA UPITIA CCM


KADA  wa  chama  cha mapinduzi (CCM) aliyewahi kuwa mkuu wa Wilaya Kilolo  mkoani Iringa  Asia Abdallah amerejesha fomu za kuomba kuwania uspika kupitia  CCM .
Asia amerejesha fomu  hiyo kwa mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi CCM, Cuthbert Midala katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma Januari 14,2022.  
   

Hadi tarehe  14  jumla ya wanachama wa CCM 66  wamechukua fomu ya kuomba kuwania nafasi hiyo hiyo  iliyoachwa  wazi  na  Job Ndugai  aliyejiuzulu nafasi hiyo  ikumbukwe  mwisho  wa  kuchukua na kurejesha fomu ni Januari 15, 2022.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI