Wanjala ameuwawa Katika Kijiji cha Mukhwenya Bugoma .
"Kuna watoto walikuwa wakitoka shule walimuona wakamtambua na wakatoa taarifa polisi alikimbilia kwenye Nyumba mmoja akajificha wananchi wenye hasira walivunja Nyumba hiyo na wakamtoa nje ndani ya dakika mbili walikuwa wamekwisha muua "
0 Comments