Mafundi wa kampuni ya kizalendo ya Dimetoclasa Realhope Limited ya wilayani Mufindi mkoani Iringa wakiendelea na ujenzi wa daraja eneo la Shayo kata ya Mkimbizi Manispaa ya Iringa ,daraja litakalounganisha kata ya Mkimbizi -Mtwivila daraja hilo linajengwa kwa kiasi cha Tsh milioni 700,000 ujenzi wake unakwenda sanjari na barabara ya lami yenye urefu wa km 5.1 inayojengwa kwa zaidi ya Tsh bilioni 22 fedha kutoka serikali kuu na benki ya Dunia picha na Francis Godwin









0 Comments