Header Ads Widget

MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA NJOMBE BALOZI DKT PINDI CHANA ALIVYOONGOZA WANAWAKE KUMPOKEA RAIS DKT SAMIA NJOMBE

Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Njombe balozi Dkt Pindi Chana wa tatu kushoto akiungana na wanawake wafanyakazi mkoa wa Njombe kumpokea Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa sherehe za wafanyakazi Mei mosi zilizofanyika kitaifa mkoani Njombe .

Balozi Dkt Chana amewapongeza wanawake wa mkoa wa Njombe kwa kujitokeza kwa wingi kuungana na wafanyakazi katika kunpokea mheshimiwa Rais Dkt Samia 

Hata hivyo alipongeza hotuba nzuri ya Rais Dkt Samia kuwa imewagusa wengi na kuonesha kwa vitendo jinsi ambavyo serikali inavyowajali wafanyakazi nchini 
 

Alisema kikubwa ni wananchi wote kuendelea kumuombea Rais afya njema ili kuendelea kulitumikia vema Taifa na kasi ya maendeleo anayoendanayo izidi kuendelea zaidi. 
Hata hivyo alisema pamoja na wafanyakazi kujitokeza kwa wingi bado wananchi wa Njombe walijitokeza kwa wingi kumpokea mheshimiwa Rais .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI