Na Fadhili Abdallah,Kigoma
HALMASHAURI ya wilaya Kibondo mkoani Kigoma imesema kuwa ukarabati na maboresho makubwa yaliyofanywa kwenye soko kuu la Halmashauri hiyo lililopo mjini Kibondo utaongeza mapato ya ndani ya halmashauri hiyo kwa kiasi kikubwa.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kibondo, Stephen Junks akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea mradi huo alisema kuwa awali halmashauri ilikuwa ikikusanya kiasi cha shilingi milioni 15 kutokana na hali ya soko iliyokuwa wakati huo ambapo ilikuwa ni vibanda vya mbao na meza za magunia.
Kutokana na ukarabati na uboreshaji huo Junks alisema kuwa halmashauri imekadiria kukusanya kiasi cha shilingi milioni 250 kwa mwezi kwa ukodishaji vibanda vya maduka lakini pia vizimba ambavyo vimeboreshwa tofauti na hapo awali ambapo halmasgauri ilikuwa ikikusanya ushuru wa shilingi 500 mara mbili kwa wiki kwa kila mfanyabiashara.
Akitoa taarifa kuhusiana na utekelezaji wa mradi huo Kaimu Mkuu wa idara ya miundo mbinu ya halmashauri ya wilaya Kibondo, Edwin Edward alisema kuwa kiasi cha shilingi 576 milioni kinatarajia kutumika kukamilisha mradi huo ikiwa ni fedha zinazotokana na mapato ya ndani ya halmashauri hiyo.
Eward alisema kuwa katika utekelezaji wa mradi huo wanatarajia kujenga maduka 66 ambapo maduka 26 yapo kwenye hatua ya ukamilishaji na maduka 20 yapo kwenye hatua ya msingi na tayari idadi kubwa ya wafanyabiashara wamefanya maombi kuomba vibanda vya kufanya biashara.
Baadhi ya wananchi wa mjini Kibondo waliokuwa wanafanya biashara katika eneo hilo akiwemo Salma Omari ambaye alisema kuwa awali soko hilo lilikuwa ni la vibanda na vichanja vilivyokuwa vinafunikwa na magunia na turubai hivyo wakati wa mvua au jua kali hali ilikuwa ngumu sana na kwa sasa wamejengewa vizimba na kuweka bati wanaamini watafanya biashara vizuri.
Mwisho.










2 Comments
Ningependa kumpendekeza mmoja wa wazimu wanaoheshimika zaidi wa wakati wetu. Ni mtu ambaye amewasaidia watu wengi jijini wakati wa hali ngumu.
ReplyDeleteBaadhi ya watu hata humwita "mungu mdogo" kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiroho na jinsi anavyowasaidia wale wanaomjia kwa ajili ya mwongozo.
Unaweza kumtumia ujumbe kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe wightmagicmaster@gmail.com
Tafadhali zungumza naye kwa heshima na ueleze hali yako wazi, naye atajitahidi kukusaidia.
Anatoa mwongozo wa kiroho na usaidizi kwa hali tofauti, ikiwa ni pamoja na:
• Masuala ya mapenzi na uhusiano, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuungana tena na mpenzi wa zamani.
• Kurejesha ndoa na mahusiano yenye matatizo.
• Maombi na mila za kiroho kwa ajili ya ulinzi na mafanikio.
• Tiba za mitishamba za kuponya VVU, saratani, malengelenge.
• Maombi ya uzazi na usaidizi wa kiroho kwa wanandoa wanaotaka kupata mimba katika wiki chache.
• Uwezo wa Telekinesis. Uwezo wa kubadilisha umbo.
• Tambiko na maombi ya utajiri wa papo hapo.
• Msaada wa kiroho katika hali ngumu kama vile kesi za mahakamani, kurejesha mali iliyopotea, na changamoto zingine za maisha.
Watu wengi wamepokea msaada na mwongozo kupitia kazi yake ya kiroho.
Need The To Hire A Hacker❓ Then contact Vcare✅
ReplyDeleteThe really amazing deal about contacting Vcare is that the Hack done by us can’t get traced to you, as every Hacking job we do is strongly protected by our Firewall. It’s like saying if anyone tries to trace the Hack, it will lead them to us and we block whatever actions they are doing.
We have been Invisible to Authorities for almost a decade now, not really about us comes out, you can only see comments made by us or about us.
Another Amazing thing to you benefit from Hiring our Hackers is that you get a Legit and the best Hacking service, As we provide you with Professional Hackers who have their Hacking Areas of specialization.
We perform every Hack there is, using special Hacking tools we get from the dark web.
Some list of Hacking Services we provide are-:
▪️Phone Hacking & Cloning ✅
▪️Computer Hacking ✅
▪️Emails & Social Media Account Hacking✅
▪️Recovering Deleted Files✅
▪️Tracking & Finding People ✅
▪️Hunting Down Scammers✅
▪️Hack detecting ✅
▪️Stealing/Copying Files & Documents From Restricted Networks and Servers ✅
▪️Bitcoin Multiplication✅
▪️Binary Option Money Recovery ✅
▪️Forex Trading Money Recovery✅
▪️IQ Option Money Recovery✅
And lots more.....
Bank Logins Prices US UK CA AU EU
- Bank Us : ( NAVY Federal Union,BOA,CHASE,Wells Fargo...)
. Balance 5000$ = 250$
. Balance 8000$ = 400$
. Balance 12000$ = 600$
. Balance 15000$ = 800$
. Balance 20000$ = 1000$
- Bank UK : ( LLOYDS TSB,BARCLAYS,Standard Chartered,HSBC...)
. Balance 5000 GBP = 300 GBP
. Balance 12000 GBP = 600 GBP
. Balance 16000 GBP = 700 GBP
. Balance 20000 GBP = 1000 GBP
. Balance 30000 GBP = 1200 GBP
Whatever Hacking service you require, just DM us at IDs provided below.
TeleGram: @Vcare524
Discord: @Vcare089
Mail: wuhacker@yahoo.com
VCARE
2026 © All Right Reserved.