Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 04, 2026 amewasili Zanzibar ambapo atashiriki katika uzinduzi wa miradi ikiwa ni sehemu ya shamrashamra kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Na OWM - TAMISEMI, Colombia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. …
0 Comments