WAKATI joto la maandamano ya Disemba 09 likizidi kupanda, mjadala wa kuyapinga na kuyakataa maandamano hayo umeendelea Kila Kona, huku vijana, wazee na wanawake wakieleza kuwa wasingependa kilichotokea Oktoba 29 kijirudie tena.
Hawa hapa ni Vijana waliokuwa katika Shughuli zao za Kujitafutia mkate wa kila siku kama ambavyo inaonekana kwenye Video hii maongezi yao yaliyonaswa hapa ni kuhusu kupinga vikali kujihusisha na masuala ya maandamano huku wakilinganisha athari ambazo wamezipata Oktoba 29.
"Tumechoka na maandamano tumekaa ndani siku tatu tunachokula chamaana hakuna hiyo Tarehe 09 hatuyawezi tumechoka maandamano " Mwananchi wa Dar es Salaam.






0 Comments