Header Ads Widget

RAIS WA ZAMBIA AMTAJA ODINGA KAMA MTETEZI WA DEMOKRASIA


Rais wa Zambia Hakainde Hichilema atuma salamu za pole kufuatia kifo cha mwanasiasa wa Kenya, Raila Odinga.

Katika taarifa yake kupitia X amesema, "nasikitisha kusikia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya RailaOdinga. Tunatuma rambirambi zetu kwa watu wa Kenya, familia ya Odinga, Rais wa Kenya William Ruto na wote walioguswa na mtetezi huyu mkuu wa demokrasia.

Hichilema amesema urithi wa Odinga utadumu na amemtakia apumzike kwa amani ya milele.


 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI