Header Ads Widget

NGORONGORO YAENDELEA KUTOA TABASAMU KWA WAGENI WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA


Watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) wameendelea kutoa huduma kwa wageni wanaotembelea hifadhi hiyo kwa kuwapa elimu ya vivutio vya utalii, huduma zinazopatikana ndani ya hifadhi, fursa za uwekezaji huku wageni wakionekana kufurahia Wanyama mbalimbali katika mazingira asilia yaliyohifadhiwa.

Wageni na Wananchi wanaotembelea hifadhi ya Ngoromgoro katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja  wanakutana na viongozi na watumishi wa taasisi hiyo kwa ajili ya kupatiwa huduma mbalimbali katika hifadhi hiyo.

Kauli mbiu ya Wiki ya huduma kwa mteja mwaka huu ni "Dhamira inayowezekana"








Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI