Header Ads Widget

DKT. MWINYI APIGA KURA MJINI MAGHARIBI

 

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika zoezi la upigaji wa kura katika Kituo cha kupigia Kura cha Kariakoo kilichopo Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi leo Jumatano Oktoba 29, 2025.






Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI